Unknown
10 years ago
Wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani.sasa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3..na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira,sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job,mimi nipo tu home na shemeji yangu,kid anapelekwa shule asubuh mpaka jioni.
Shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli..yani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana..mana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo,juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu.jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje je?maana uzalendo unaelekea kunishinda asee.maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.naombeni ushauri weni wadau.Asanteni
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category:
mapenzi
udaku
Related Posts

Kwa Wanandoa Tu: Ni Halali Kupokea Simu ya Mumeo/Mkeo Akipigiwa?
In case mumeo/mkeo yuko mbali kidogo na simu yake halafu ikatokea akapigiwa simu na mtu ambaye aidha...Read more »
26Sep2015
Alinipa Penzi ili Nimuingize Kazini, Imebuma, Anatishia Kuja Kazini Kuharibu na Kumwambia Wife
Nawasalim wote katika bwana, Wapendwa, yupo msichana mmoja, alimaliza chuo mwaka jana, anakaa mtaa ...Read more »
26Sep2015
Wanawake wa Kichaga Jisafisheni Kimapenzi Maana Sehemu Kubwa ya Jamii inawaogopa Kimapenzi
Ukipata mchumba hasa mmachame wanafamilia wanakuwa wagumu kubariki mahusiano yenu.Hii imetokana na ...Read more »
26Sep2015
amaa Aliyefanya Zoezi la Kura za Maoni Kwenye Box Kariakoo na Lowassa Kushinda Akamatwa na Polisi
Mtu mmoja huko Kariakoo jijini Dar amekamatwa na Polisi kwa kuendesha zoezi lisilo rasmi wala ...Read more »
25Sep2015
Diamond Platnumz Azua Kizaazaa Kampeni za Magufuli Bukoba....
Kundi kubwa la vijana wakigombea kumuona mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’, katika Viwanj...Read more »
25Sep2015
Nimetembea Kimapenzi na Binti Zangu Wawili kwa Mpigo Usiku Mmoja Kwenye Kitanda Kimoja
Ndugu Wadau,Nianze hivi,ninafanya kazi mbali na mke wangu, sasa niko kwa wife wiki ya pili kwa vile...Read more »
26Sep2015
No comments: