Habari kwa Ufupi :

    3:00 PM
» » » » Mama mzazi wa Z-Anto afariki kwa saratani ya Ini




Msanii wa kizazi kipya Z-Anto amefiwa na mama yake mzazi mchana wa leo baada ya kuugua kwa muda mrefu saratani ya ini. Msiba unafanyika nyumbani kwao maeneo ya Kigamboni jijini Dar es Salaam.
971110_623176331033610_40206523_n
Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho. Tunampa pole Z-Anto kwa msiba huo. Msikilize hapo chini.


Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
OMMY DIMPOZ KUACHIA NGOMA MPYA MWEZI HUU … TAZAMA ALIEMSHIRIKISHA …
»
Previous
Picha: Mchezaji mstaafu wa timu ya football ya Marekani, Ravens, Ray Lewis ashindwa kupanda Mt. Kilimanjaro baada ya kupata homa

No comments:

Leave a Reply