Habari kwa Ufupi :

    3:00 P
» » » P-Square ‘Personally’ kufanya show Tanzania mwezi ujao (November)



Baada ya kumaliza ziara yao ya Marekani na Canada mwezi uliopita mapacha wa kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye kutoka Nigeria wanatarajiwa �Personally� kutua bongo kwaajili ya kazi moja tu, �Kuwakilisha�.
P-Square-2
Kwa mujibu wa kituo cha EATV, wasanii hao wenye hits nyingi ikiwemo Alingo, Chop My Money na zingine wanatarajiwa kufanya onesho lao Tanzania tarehe 23 November.
EATV wametweet


Na baadaye kupitia ukurasa wao wa facebook wakaweka msisitizo:
�TUTAELEWANA TU MWAKA HUU AU SIO?!! EHHH!!
Sikia hii sasa!! Tanzania kwa mara nyingine tena tunawaleta kwenu ‘P SQUARE’.
Jipange kucheza na PERSONALLY, ALINGO, CHOP MY MONEY na nyingine kibaooooo!!
NOVEMBA patakuwa HAPATOSHII!! JIPANGEEEE !!!!!!!!

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Wahu asimulia jinsi mwanaye alivyonusurika kuwepo Westgate siku ya shambulio
»
Previous
PICHA: JK ALIVYOTUA DAR ES SALAAM AKITOKEA CANADA NA MAREKANI...

No comments:

Leave a Reply