Rapper huyo ameongeza kuwa atakuwa akizindua kwa episode hivyo baada ya wiki hii ataendelea katika club zingine kwa wiki zijazo kuzindua episode zitakazofuata.
“Ni mwendelezo sababu ina mwendelezo mrefu sana…kwasababu si unajua documentary ni maisha kwa hiyo bado tunaendelea kushoot kila siku”, alisema Mabeste kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm.
Uzinduzi huo utasindikizwa na wasanii mbalimbali wakiwemo M-Rap, Queen Darleen, Suma Mnazareti, Stamina, Country Boy na wengine.
No comments: