Habari kwa Ufupi :

» » » Picha; Behind the Scene ya wimbo mpya uliofanywa na Wasanii 50 kutoka Tz

Kutoka Tanzania wasanii 50 wa muziki wa Bongo Fleva, Hiphop, Injili, Dance na Taarab wameungana pamoja na kufanya wimbo wa kuhamasisha Muungano unaotoka April 26 2014. Tazama baadhi ya picha zake hapa.

Wasanii kwa pamoja katika video shooting hiyo


Shaa, Mandojo na Domokaya
 Mwasiti akiwa na Martin Kadinda

 Diamond na Aslay
 Lina Sanga akiimba katika scene yake katika wimbo huo


Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Video: The World is Ours (Africa version) 'Lady Jay Dee Ndani'
»
Previous
Magazetini leo Alhamsi ya Tarehe 24/4/2014

No comments:

Leave a Reply