Kundi hilo linaloundwa na Mkoloni na Dr. John limeachia nyimbo mbili sambamba na video zake, nyimbo hizo ni ‘Gahawa’ na ‘Bao’.
“Mfano watu wanajua Wagosi wa Kaya wao wakija ni siasa kwenda mbele tu hapana, sisi tumeshaimba vitu vingi sana. Tumeshaimba Wauguzi, tumeshaimba Soka la Bongo, Trafiki, Ubia, kilimo, tumeshaingia kila kona, zile nyimbo zipo tu na huu ni uamsho na albam yetu inakuja inaitwa ‘Uamsho’. Tunaamsha.” Wagosi wa Kaya waliiambia Bongo Dot Home ya Times Fm.
1:Video Wagosi wa Kaya - Bao
2:Video Wagosi wa Kaya - Gahawa
No comments: