Home
»
Diamond Platnumz
»
Entertainment
» Hii ndio nafasi anayoshikilia Diamond Platnumz mpaka hivi sasa katika upigaji kura wa BET 2014
Si siku nyingi toka Diamond Platnumz alipotangazwa kuwania tuzo za kituo cha Television cha Marekani BET akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo hiyo huku wengine wakitoka Nigeria, Ghana na Togo. (Best International Act: Africa )
The Good news ni kwamba katika mchakato wa kura sasa hivi Diamond ameshika nafasi ya pili katika list ya Wasanii wote sita ambapo kama Watanzania wataendelea kumpigia kura kwa kasi na kumzungumzia kwenye mitandao ya kijamii basi anaweza kushika nafasi ya kwanza kwa kumpiku alie juu yake ambae kamzidi kwa asilimia 5 tu.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: Diamond Platnumz Entertainment
Related Posts
Diamond Platnumz Azua Kizaazaa Kampeni za Magufuli Bukoba....
Kundi kubwa la vijana wakigombea kumuona mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’, katika Viwanj...Read more »
25Sep2015Music: Wimbo ramsi wa tuzo za Afrimma ulioshirikisha wasanii 10 akiwemo Diamond, Yvonne Chaka chaka, Vanessa Mdee…
Wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaowania tuzo za Afrimma wameungana kufanya wimbo rasmi w...Read more »
26Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015Inasemekana hawa ndio Mastaa wa kibongo waliowazidi umri wapenzi wao
Mara nyingi tunaishia kusikia rumors tu, kuwa msanii fulani amemzidi umri mpenzi wake na mara nyingi...Read more »
24Jun2014Music: Linah ft Diamond Paltnumz - Kizai Zai
Sikiliza wimbo Mpya kutoka kwa Mwanadada Linah akimshirikisha Diamond Platnumz ngoma inaitwa “Kizai ...Read more »
20Jun2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: