Msichana mwingine wa kitanzania afariki kwa hii biashara nchini India
Neema aliamua kukaa na Mnigeria huyo mpaka pale mauti yalipomkuta kwani source inasema mnigeria huyo hakujua kama Neema bado aliendelea na kazi yake ya ukahaba mpaka pale alipomkuta na ndio matatizo yalipotokea.Inasemekana mnigeria huyo alimpiga sana mpaka hali yake kuwa mbaya na kuweza kukimbizwa hospitali mpaka mauti kumkuta. Kwa sasa ameletwa nchini kwa ajili ya mazishi lakini source inasema kuna rafiki yake anaeitwa Mercy anajua exactly kilichomkuta Neema huko New Delhi.
Kwa kweli hili sula la dada zetu kufanya biashara haramu limezidi kukithiri kila tukiamka na wanaopeleka dada zetu huko wanajulikana kwani huwa wanawapeleka kwa mkopo na mtu anahitajika kufanya biashara hiyo mpaka alipe deni la dola 35000 au hapewi passport yake.
No comments: