Habari kwa Ufupi :

» » » Picha: P-Funk Majani atembelea kaburi la Rafiki yake kipenzi Albert Mangwair Morogoro

Katika kuazimisha siku ya Kifo cha Mangweir , amabayo ilikuwa  ni jana siku ya tarehe 28/5/ producer Mkongwe kwenye industry ya muziki P-Funk Majani ameongoza msafara wa watu mbalimbali mashuhuri kwenda Morogoro kuadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha Albert Mangwair. 



Tazama picha hizi za producer huyo akiwa na watu wengine kwenye kaburi la Ngwair.








Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Haya ndiyo anayoyasema Jacline Wolper juu ya Mahusiano yake na Ney wa Mitego!
»
Previous
Picha: Picha ulizozimic kutoka nstagram, Huddah Monroe na Davido wajirusha pamoja Ghana

No comments:

Leave a Reply