
Leo picha nyingine zimetoka zikimuonesha Wizkid na Justin Bieber na bila shaka itakuwa kikazi zaidi.
Wizkid mwenye umri wa miaka 23 alitajwa na BBC kama Justin Bieber wa Afrika kwa kuzingatia uwezo wake na umri wa Justin (20).
Just played some amazing music tonight!! Big talent! Amazing” alitweet Wizkid.
No comments: