Habari kwa Ufupi :

» » » » Hermy B afunguka kuhusu mtu aliyemkosanisha na wasanii wa B’Hits

CEO na Producer  wa B’Hits Hermy B ameamua kufunguka ya moyoni kuhusiana na mtu wa karibu yake anayeamini kuwa ndiye aliyemkosanisha na wasanii wa B’Hits ambao kwa sasa hawako naye tena. Kupitia Twitter, Hermy amesema B’Hits ilivunjwa kutokana na maneno ya watu.


Soma tweet za Hermy B


Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Music: BHitz Feat. DJ Choka, Mabeste, Deddy& MRap- Chapa Mitaa
»
Previous
Picha: Flaviana Matata aungana na Russell Simmons na Kimora Lee kwenye hafla ya Wayuu Taya Foundation

No comments:

Leave a Reply