CEO na Producer wa B’Hits Hermy B ameamua kufunguka ya moyoni kuhusiana na mtu wa karibu yake anayeamini kuwa ndiye aliyemkosanisha na wasanii wa B’Hits ambao kwa sasa hawako naye tena. Kupitia Twitter, Hermy amesema B’Hits ilivunjwa kutokana na maneno ya watu.
Soma tweet za Hermy B
Leo natoa ya moyoni,Group ya Bhitz ilivunjwa kutokana na majungu na maneno ya watu ambao wengine ni marafiki zangu wa karibu sana na nawajua— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014Na ushahidi wa nani amehusika kwenye kututenganisha tunao…hibi nimewakosea nini jamani…hiki kipaji tumepewa na mungu na ni kwa nia nzuri— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014Wengi weni hamjui but maugomvi yote yale yametengenezwa na inauma kugundua kuwa nina marafiki ambao ni wanafki na hawanitakii mema.— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014Siku Pancho joined Bhitz,mmoja wa rafiki wanafki akamfata na kumueleza kuwa aache kazi bhitz…leo hii pancho ndo bhitz…huo ni urafiki au?— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014Vita ya ay na mwanaFA ilitengenezwa na mtu wote mnamjua..hivi kweli mimi ni wa kudai mamilioni kwa watu ambao tumeanzia kwenye shida pamoja?— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014Kuna vingi jamii imepotoshwa kuhusu utendaji wetu na mengine…hamjui mengi coz tumekaa kimya…but ipo siku ntafunguka na kutaja majina— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014Imajin mpaka nyimbo za bhitz hazipigwi kwenye baadhi ya radio but kwenye radio yangu nawapa full rotation bila kubana..hii ni haki?wanajijua— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014Ipo siku wote tutarudi studio & do wat we do best,sitoacha kutoa nyimbo coz jamii lazima itambue uwezo wao,Bhitz and that team was the BOMB— Hermy B (@HermyB1) June 4, 2014
No comments: