Home
»
celebrity News
»
News
»
Victoria Kimani
» Victoria Kimani wa Kenya akanusha kuwa na mahusiano na Prezzo, japo walionekana waki kiss hadharani
Mapema mwezi huu (June) kuna habari zilienea kuwa mwanamuziki mrembo wa Kenya Victoria Kimani na rapper CMB prezzo walionekana waki kiss hadharani. Wait, tatizo hapa halikuwa kukiss ila issue ilikuwa ni kwamba haikuwahi kufahamika kama Vickie na Prezzo wana uhusiano ndio sababu kitendo hicho kilifanya watu waamini kuwa ‘they are an item’.
Kupitia show ya ‘Str8up Live and Loud’ Vickie ambaye ni dada wa rapper mkongwe wa Kenya Bamboo ameonesha kushangazwa na jinsi watu wanavyomuhisi kuwa na mahusiano na Prezzo, kitu ambacho amesema sio kweli na kuongeza kuwa katika maisha yake amewahi kuonana na Prezzo mara mbili tu na mara zote ni katika matukio.
Vickie amesema mara ya kwanza alikutana na Prezzo katika show ya uzinduzi wa P-Unit, na mara ya pili ni katika uzinduzi wake mwenyewe mwezi uliopita, hivyo akahimiza kuwa hana uhusiano wowote na Prezzo.
Tazama mahojiano ya Victoria Kimani katika Str8up Live and Loud
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News News Victoria Kimani
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: