Home
»
celebrity News
»
News
»
Victoria Kimani
» Victoria Kimani wa Kenya akanusha kuwa na mahusiano na Prezzo, japo walionekana waki kiss hadharani
Mapema mwezi huu (June) kuna habari zilienea kuwa mwanamuziki mrembo wa Kenya Victoria Kimani na rapper CMB prezzo walionekana waki kiss hadharani. Wait, tatizo hapa halikuwa kukiss ila issue ilikuwa ni kwamba haikuwahi kufahamika kama Vickie na Prezzo wana uhusiano ndio sababu kitendo hicho kilifanya watu waamini kuwa ‘they are an item’.
Kupitia show ya ‘Str8up Live and Loud’ Vickie ambaye ni dada wa rapper mkongwe wa Kenya Bamboo ameonesha kushangazwa na jinsi watu wanavyomuhisi kuwa na mahusiano na Prezzo, kitu ambacho amesema sio kweli na kuongeza kuwa katika maisha yake amewahi kuonana na Prezzo mara mbili tu na mara zote ni katika matukio.
Vickie amesema mara ya kwanza alikutana na Prezzo katika show ya uzinduzi wa P-Unit, na mara ya pili ni katika uzinduzi wake mwenyewe mwezi uliopita, hivyo akahimiza kuwa hana uhusiano wowote na Prezzo.
Tazama mahojiano ya Victoria Kimani katika Str8up Live and Loud
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News News Victoria Kimani
Related Posts
Aunt Ezekiel aelezea tuhuma za kutoka kimapenzi na Dancer wa Diamond Plantumz
Mwigizaji wa filamu nchini Aunty ezekiel ameelezea tuhuma zilizozogaa siku kadhaa zilizopita kuwa ...Read more »
08Aug2014Wnafunzi hawa wakutwa wakifanya ngono kweupeeee...
Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngon...Read more »
07Aug2014HII NDIO DAWA YA TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME....
Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofan...Read more »
07Aug2014Picha /Video:Hii ndio Ajali iliyotokea Makongo yaua watu 18
Ajali ajali! Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar ...Read more »
21Jun2014Walioshambulia Kenya si Al Shabaab, 'Uhuru Kenyatta'
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema mashambullio yaliyotokea katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Ken...Read more »
17Jun2014Picha: Hvi ndivyo jinsi Director na Kipenzi cha wengi Geogre Tyson alivyoagwa
Mchana wa leo mamia ya Watanzania walifurika katika viwanja vya Leaders Club kuuaga mwili wa Directe...Read more »
04Jun2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: