Habari kwa Ufupi :

» » » Picha: RAY C anunua Mkoko Mpyaa licheki hapa



STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray C’ ameamua kuianika gari yake ambayo anatembelea kwa sasa ... Gari hilo ni aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… Jaguar don't care...CHL means Chalamila Family..... Pongezi za kutosha zikufikie Ray C popote ulipo. Huo ni mwanzo mzuri baada ya mateso ya madawa ya kulevya yaliyokufanya uwe teja




Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Filamu ya Shaymaa ya Wastara kuanza kutikisa soko mwezi ujao, mwenyewe asema hamna mfano wake bongo!
»
Previous
Wahu asimulia jinsi mwanaye alivyonusurika kuwepo Westgate siku ya shambulio

No comments:

Leave a Reply